Propellerads
Propellerads
Propellerads
Daily Updates!

We share informations with you

Propellerads

Wednesday, 15 February 2017

MECHI 2 KUPIGWA LEO LIGI KUU TANZANIA BARA

Michezo miwili ya ligi kuu Tanzania bara itapigwa leo katika mkoa ya mtwara na Jiji la Mbeya.
Ndanda Fc ya Mtwara watakua nyumbani katika dimba Nangwanda Sijaona kuwakaribisha Mbao Fc kutoka mkoani Mwanza.

Tanzania Prisons ya Jijini Mbeya watakua wenyeji wa Kagera Sugar ya Mkoani Kagera mchezo huo utapigwa katika dimba la Sokoine
Mechi nyingine za ligi hiyo zitaendelea Februari 17, 18 na 19 kwa mujibu wa Ratiba.

0 comments:

Post a Comment

Propellerads