Propellerads
Propellerads
Propellerads
Daily Updates!

We share informations with you

Propellerads

Wednesday, 15 February 2017

SHAMBA LA BANGI LABAINIKA KAGERA,LALIMWA KWA MBOLEA YA RUZUKU

Watendaji wa Vijiji na Vitongoji kadhaa wilayani Muleba, mkoani Kagera wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kutumia mbolea ya ruzuku kwa kilimo cha bangi.

Mashamba makubwa manne ya bangi yamekutwa na kuteketezwa.

Katika operesheni maalum iliyofanyika chini ya Mkuu wa Wilaya ya Muleba aliyeambatana na Mkurugenzi wake wa Muleba, inadaiwa kuwa Watendaji hao walificha hata taarifa za uwepo wa mashamba hayo ya bangi.

Inasemekana kuwa bei ya bangi imepanda kutoka laki moja hadi laki mbili kwa ndoo moja.

0 comments:

Post a Comment

Propellerads