Mechi kali zaidi itakuwa kesho Jumapili kati ya Mwadui watakaokuwa wenyeji wa matajiri wa Juisi, Azam mechi itakayopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Mchezo mgumu zaidi ni wa Mtibwa na JKT Ruvu inayopambana kujinasua na hatari ya kushuka daraja sawa na ule wa Mbao na Majimaji ambazo zote bado hazipo salama katika eneo la kushuka. Ndanda itacheza na African Lyon pia kesho.





0 comments:
Post a Comment