Propellerads
Propellerads
Propellerads
Daily Updates!

We share informations with you

Propellerads

Tuesday, 14 February 2017

BILLICANAS NDIO ILITUHUMIWA KWA MADAWA YA KULEVYA SI MBOWE

Askofu William Mwamalanga amesema kipindi klabu ya Billicanad ilipokuwa ikifanya kazi ilihusishwa kwa kiasi kikubwa na kutumiwa na wafanyabiashara wa dawa za kulevya

Amesema amesikitishwa sana kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar kumhusisha Mbowe katika uuzaji wa Madawa ya Kulevya kitendo ambacho wao hawakusema hivyo kwani mtu kuhusika na nyumba au biashara yake kutumiwa na watu wenginr bila ye kujua ni suala linalowezekana kwani yeye mara nyingi(Mbowe)henda hata mambo mengi alikuwa hajui yanavyoendelea pale mbali  na kupewa taarifa tu kama mmiliki,aliongeza kwa kusema alishangazwa sana kusikia Mheshimiwa Mbowe akitajwa ambae pia ni Mbuge wa Hai na Kiongozi wa Kambia ya Upinzani Bungeni

0 comments:

Post a Comment

Propellerads