Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta leo alitembelea wanajeshi wa Kenya wanaokabiliana na wanamgambo wa al-Shabab katika kambi ya Dhobley. Aliwashukuru kwa kujitolea kwao na kuwaahidi kwamba serikali yake itaendelea kuwaunga mkono.
Picha/PSCU
#bbcswahili #kenya #somalia #alshabab
Source bbcswahili
Saturday, 18 March 2017
HABARI PICHA KENYATTA AKIWA SOMALIA
Unknown
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







0 comments:
Post a Comment