Kwa mujibu wa bandiko lake katika mtandao wa kijamii wa Twiter Profesa Kitila Mkumbo amesema Dr.Harrison Mwakyembe kwa kitendo chake cha kuutangazia umma kuwa wataifuta Tanganyika Law Society(TLS) kwa kujihusisha na siasa,kitendo hiki kimempa umaarufu zaidi mwanasiasa Tundu Lissu kwani kwa mujibu wa Tangazo lile la Mwakyembe mtu aliyekuwa akimlenga alikuwa ni Lissu japo pia hata kuna jina jingine la mwanasiasa Lawrence Masha ambaye kwa hali yake ya kisiasa si maarufu kama alivyo Lissu.
Mkumbo kitendo hiko kimemrahisishia sana Lissu katika harakati zake za kuukwaa uongozi ndani ya Chama hiko cha Wanasheria hapa nchini.
Thursday, 16 February 2017
PROF.KITILA MKUMBO ASEMA DR MWAKYEMBE AMEMSAIDIA LISSU
Unknown
No comments
Suala hili limemfanya Lissu kujulikana vizuri zaidi kwa wajumbe wa uchaguzi ule pia Mkumbo akawatakia uchaguzi mwema wajumbe wote wa TLS.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment