Propellerads
Propellerads
Propellerads
Daily Updates!

We share informations with you

Propellerads

Sunday, 19 February 2017

MGOMBEA HUKO UHOLANZI AAHIDI KUFUNGA MISIKITI NA KUZUIA WAISLAMU

Mwanasiasa wa Uholanzi, Geert Wilders, anafanya mkutano wa mwanzo wa kampeni yake, na anahisi kuzuwia Waislamu kuhamia nchini humo, na kwamba atafunga misikiti.
Vilevile amawataja raia wa Morocco kuwa kashfa
Ulinzi mkali umewekwa katika mkutano huo karibu na Rotterdam.
Umebaki mwezi mmoja kabla ya uchaguzi, na kura za maoni zinaonesha kuwa chama cha bwana Wilders kina uongozi mdogo, ikilinganishwa na kile cha waziri mkuu, Mark Rutte
Lakini katika majuma ya karibuni, wafuasi wa Bwana Wilders wamepungua.
Mwandishi huko nchini Uholanzi, anasema kwa vile Bwana Wilders anamuunga mkono Donald Trump, inaonesha amepoteza baadhi ya wafuasi.

0 comments:

Post a Comment

Propellerads