Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka Tanzania mashabiki wote wa Yanga waliojiandaa kwenda na mabango ya kukashifu serikali,hili limeelezwa linaweza kutokea kwani Shirikisho lina taarifa hizo.
Mashabiki hao wamejiandaa kufanya hivyo kutokana na mwenyekiti wao Yusuph Manji kushikiliwa na Polisi baadae kupelekwa mahakamani kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya.
Shirikisho limesema vitendo hivyo vikifanyika vinaweza kuleta uvunjifu wa amani na hata kupelekea uharibifu wa uwanja kama uliofanyika kipindi na katibu mkuu akaonya kuwa safari hii tukio kama hilo likitokea inaweza kuwaamusha zaidi na kuifungia timu hiyo kutokuutumia Uwanja wa taifa moja kwa moja kwani itakuwa ni dharau na utomvu wa nidhamu uliopitiliza kwa serikali,pia akakumbushia kauli iliyowahi kutolewa na serikali dhidi ya timu zinazoharibu miundombinu ya viwanja yeye Rais hawezi kwenda kuangalia mechi kama hizo ni bora akaangalie mechi za mchangani.
Saturday, 18 February 2017
MASHABIKI YANGA WAONYWA MECHI YA LEO DHIDI YA NGAYA FC
Unknown
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment