Mchungani wa Kanisa la uzima na ufufuo almaarufu Gwajima ameachiwa leo toka Polisi baada ya kuripoti toka juzi ambapo alifanyiwa mahojiano na uchunguzi ukihusisha nyumba yake pamoja na mwili wake kubaini kama aliwahi kutumia au anatumia
Baada ya kuachiwa waumini wake wamekusanyika kwa wingi wakisubili kwa pamoja kesho Jumapili anaweza kuhudhuria na kuongoza misa Kanisani
Saturday, 11 February 2017
MCHUNGAJI GWAJIMA AMEACHIWA TOKA KITUO KIKUU CHA POLISI BAADA YA MAHOJIANO
Unknown
No comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





0 comments:
Post a Comment